#udhu

 



Ni lazima kutawadha kwa mambo matatu

1. Kuswali

Mwenyezi Mungu U Anasema: {Enyi Mlioamini! Mnapo simama kwa ajili ya swala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni} [5: 6]

2. Kutufu Alkaba:

Kwa kauli yake Mtume ﷺ kumwambia mwanamke aliye katika hedhi: (Usitufu mpaka utwahirike) [ Imepokewa na Bukhari.].

https://www.al-feqh.com/sw/kutawadha

Comments

Popular Posts